Mwanasheria mkuu wa serikali Fredrick Werema amejiuzulu

No comments
Mwanasheria mkuu wa serikali Fredrick Werema amejiuzulu leo wadhifa wake katika barua aliyomwandikia rais kikwete na kuthibitishwa na ikulu. 
Ni hatua iliyochelewa au ni wakati muafaka?

No comments :

Post a Comment